Alhamisi, 14 Mei 2015

DRC: WATU 23 WADAIWA KUUAWA


Waasi DRC
Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.
Wanane kati ya waliofariki ni wanajeshi wa DRC.
Shambulizi hilo lilifanyika Jumatano usiku.
Waasi wengi wao wakiwa wa Allied Democratic Forces (ADF) wamefanyana mashambulizi kadhaa kusini mwa mji wa Beni katika siku za hivi karibuni.
Umoja wa mataifa unasema kuwa huenda walifanya makosa ya uhalifu wa kivita na vitendo vinavyokiuka ubinadamu.
ADF imewaua mamia ya watu wakati mwingine na ndo, panga na visu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni