Jumatatu, 6 Oktoba 2014

KIKWETE AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mh. Leonidas Gama aliyelazwa  kwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Paschal Mabiti aliyelazwa kwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Dkt. Henry Mwijarubi  aliyelazwa kwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni