Jumatano, 8 Oktoba 2014

DK. KIGWANGALLA ALIPOPOKELEWA NZEGA BAADA YA KUTANGAZA KUWANIA URAIS



Kigwangalla akisimikwa utemi wa Ibhambangulu.



Kigwangalla akisimikwa utemi wa Makaranga Ng'wana Ng'washi.



Kigwangalla akivalishwa scarf na scouts

·               

Historia fupi: Mimi ni Mtemi wa kurithi kutoka kwa Babu yangu Chief Lumola Bakari Maulid, ambaye alikuwa Mtemi wa Usaguzi, maeneo ya Mwegelezi, kule Kaliua. Mwaka 2010, mjukuu wa Mtemi Makaranga Ng'wana Ng'washi alinitawaza kuwa Mtemi wa Lusu, ambao ni utemi wake wa asili wa kurithi. Juzi tarehe 4 Oktoba nilipata heshima nyingine mbili: Mtemi wa Sungusungu wote wa wilaya ya Nzega, heshima niliyopewa na viongozi wa Sungusungu wenyewe, na nilitawazwa kuwa Mtemi wa Puge, Ibhambangulu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni