Jumatatu, 6 Oktoba 2014

CHADEMA WATAKA RPC MBEYA AJIUZULU, KISA? KUTAMKA ATAWAFANYIA 'KITU MBAYA'




RPC Ahmed Msangi akizungumza na waandishi wa habari



RPC Ahmed Msangi


Mbunge wa MBEYA mjini Joseph Mbilinyi, Sugu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu nia ya chama hicho kumtaka RPC Ahmed Msangi ajiuzulu wadhifa wake kwa kile alichodai kuwa ana nia mbaya na wafuasi wa CHADEMA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni