Ijumaa, 22 Agosti 2014

MAULID KITENGE MTANGAZAJI WA RADIO EFM 93.7 AKIWA NA LUIS FIGO

 Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
You might also like:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni