Ijumaa, 8 Agosti 2014

KAMATI YA UTENDAJI YA NPC YANOLEWA, LENGO KUU KUUNDA KAMATI YA MAADILI

Kushoto ni Katibu wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Njombe Hamis Kasapa,  Katikati ni Allan Lawa  Meneja Maadili Baraza la Habari Tanzania
Wa kwanza kushoto, Gabriel Kilamlya (Mtunza Hazina Msaidizi NPC) na kulia ni Aldo Sanga ambaye ni  mjumbe wa kamati tendaji kutoka Makete.
Zenobia Mtei na Michael Katona Wajumbe wa kamati ya NPC.
 
Katibu Msaidizi wa NPC, Lilian Mkusa kutoka Shirika la Daraja.
Wanahabari na Viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Njombe  wakiwa kwenye semina ya siku moja kutoka  Baraza la Habari Tanzania MCT Mjini Njombe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni