Jumamosi, 17 Desemba 2016

MKURUGUNZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO HASSAN ABBAS ALAMBA PHD

 Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass akikitunukiwa Shahada yake ya Uzamivu ya Mawasiliano ya Umma (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali ya 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass akipokea shada la maua mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass (kushoto) akifurahia jambo na mmoja wa Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Fr. Francis Ng’atigwa mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass (wanane kutoka kushoto mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wenzake mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni