Ijumaa, 21 Agosti 2015

NAPE ATOA SHUKRANI KWA WAKAZI WA MTAMA AAHIDI KUTOWAANGUSHA






















 Wananchi wa Kata ya Majengo ,Mtama wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza mbunge wao mtarajiwa Nape Nnauye .


















 Mbunge wa Mchinga Mhe.Said Mtanda akihutubia kwenye mkutano wa hadhara wa kushukuru wananchi waliompigia Katibu Mwenezi wa CCM Taifa ,Nape Nnauye uliofanyika Majengo Mtama.


















 Wanancnhi wakimsindikiza Nape Nnauye kwenda jukwaani kuhutubia.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape 


















 Wananchi wakimsikiliza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndie mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM.
Mkutano huo uliofanyika sokoni Majengo ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi.

 
















Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndie mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akisisitiza jambo kwenye mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wake.


















 Mmoja wa wagombea waliokuwa wanagombea nafasi ya kuiwakilisha Mtama bungeni akiwasalimu wananchi na kuwahakikishia kuwa atashirikiana na Ndugu Nape Nnauye katika kufanikisha ushindi wa CCM. 


















 Mgombea Diwani wa kata ya Mnara Bi.Halima R. Mwambe akiwasalim wananchi kwenye mkutano huo.


















 Wananchi wakifuatilia kwa makini hotuba za shukrani.


















Kikundi cha kwaya cha Majengo kikitumbuiza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni