Jumapili, 7 Juni 2015


WANANCHI WAKISEREBUKA USIKU 
WA TWENDE NA MEMBE MJINI LINDI

 Shamra shamra za kutangaza nia ya kuwania urais zaendelea kunoga mjini Lindi ambapo leo June 6 kuamkia June 7, 2015 ambapo Mheshimiwa Bernard Membe atakuwa anatangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Wananchi wamejitokeza kwa wingi huku msanii mzee Yusuph na kikundi cha ngoma ya Deda wakitoa burudani ya kijadi.
Mfalme wa Muziki wa taarabu Mzee Yusup akitoa burudani katika shamra shamra hizi.
Mbunge wa Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda (wa pili toka Kushoto) akicheza na wananchi waliojitokeza katika shamra shamra hizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni