Jumapili, 7 Juni 2015

        RAIS WA ZANZIBAR AENDELEA NA ZIARA        YAKE NCHINI UJERUMANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake wakiwa katika Ofisi ya Mstahiki Meya wa Mji wa Wurzburg wakati walipotembelea kupata maelezo mbali mbali wakiwa katika ziara ya kikazi nchini Ujerumani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitia saini kitabu cha Golden Book katika Ofisi ya Mstahiki Meya wa Mji wa Wurzburg Mhe,Christian Schuehadt wakati alipotembelea akiwa na ujumbe wake akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ujerumani wakiwepo na Viongozi wengine (kutoka kulia) Mama Mwanamwema Shein, Meya wa Mji wa Wurzburg Mhe, Christian Schuehadt,Balozi Phillip Marmo na Dr.Adolf Bauer, Naibu Meya.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Meya wa Mji wa Wurzburg Mhe,Christian Schuehadt (wa pili kulia) a lipokuwa akiangalia Mji wa Zamani ulivyoharibika kwa Mabomu katika Vita vya pili vya Dunia wakati alipotembelea Ofisini kwa Meya akiwa na ujumbe wake (wa pili kushoto) Mama Mwanamwema Shein na Balozi wa Tanzania Ujerumani Mhe,Philip Marmo akiwapo na Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar Balozi Silima Kombo Haji (kulia).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akifuatana na Mstahiki Meya wa Mji wa Wurzburg Mhe,Christian Schuehadt baada ya kutembelea katika Ofisi ya Mstahiki Meya akiwa na ujumbe wake katika ziara ya kikazi nchini Ujerumani (katikati) Mama Mwanamwema Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Mstahiki Meya wa Mji wa Wurzburg Mhe,Christian Schuehadt baada ya kutembelea katika Ofisi ya Meya na ujumbe wake katika ziara ya kikazi nchini Ujerumani.(Picha na Ramadhan Othman.)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni