Jumanne, 30 Juni 2015

RC NJOMBE- AZITAKA HALMASHAURI KUTOA USHIRIKIANO KWA BENKI YA NJOCOBA


 Wa Kwanza ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wananchi Njombe[NJOCOBA]Bwana Michael Ngwira Akiwa Kwenye Kikao Cha Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Benki Hiyo Leo
 Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi Akizungumza Katika Mkutano Mkuu wa NJOCOBA wa Wanahisa

 Baadhi ya Wanachama Wakijisajiri na Wengine Wakinunua Hisa Leo
 Wanachama na Wanahisa wa NJOCOBA
 Katikati ni Afisa Mwandamizi wa Mikopo Katika Benki ya Wananchi Njombe NJOCOBA na Afisa Mikopo Bwana Danford Mfikwa Akisikiliza Hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni