Jumamosi, 9 Mei 2015

TUTARAJIE MAKUBWA KWA LUPITA

Tutarajie kumuona Lupita kwenye hii movie nyingine kali Holywood !!

PASADENA, CA - FEBRUARY 22:  Actress Lupita Nyong'o attends the 45th NAACP Image Awards presented by TV One at Pasadena Civic Auditorium on February 22, 2014 in Pasadena, California.  (Photo by John Sciulli/Getty Images for NAACP Image Awards)
Lupita Nyong’o
Lupita Nyong’o ni moja ya waigizaji wa kike wakubwa duniani.. Kenya inajivunia huyu staa wao, alianza kuonekana kwenye movie ya ‘12 Years A Slave’.. baada ya hapo milango ikafunguka upande wake, tukamuona tena kwenye movie ya Non-Stop.. Tayari ana Tuzo kubwa mikononi mwake na kazi ya movies inaendelea kama kawaida yani.
Mwaka jana kulikua na fununu kua staa huyo mpya wa hollywood ataigiza tena kwenye movie nyingine kubwa ya Hollywood movie series ‘Star Wars Episode VII – The Force Awakens‘ alafu baadae ikawa kimya.. kipya kwenye headlines ni kwamba rasmi kabisa taarifa imetolewa kwamba Lupita atakuwepo kwenye ‘Star Wars Episode VII – The Force Awakens’.
LUPIIITAAAMovie itaachiwa cinema December 18 2015 ambapo Lupita amecheza kama “Maz Kanta”.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni