Jumatano, 13 Mei 2015

MWIGULU ACHANGISHA MILIONI 53 KWENYE HARAMBEE YA KANISA‏

 Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akitoa hutuba katika harambee ya kanisa la GMCL
 Mchungaji Aquina Mhanze akisoma risala ya kanisa mbele ya mgeni rasmi
 Nabii Mpanji akihubiri kabla ya kuanza kwa harambee
 Naibu Waziri pamoja na meza kuu wakicheza moja ya nyimbo zilizoimbwa kanisani hapo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni