Ijumaa, 1 Mei 2015

HALI YA UKUSANYAJI MAPATO HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE BADO MBAYA

 
 
 
 
 
 


Na Gabriel Kilamlya Njombe

Tatizo la Watumishi wapya Katika Halmashauri Mbalimbali Kuripoti Kwenye Vituo Vya Kazi
na Kisha Kutoroka Limetajwa Kuisababishia Hasara Serikali Huku Kundi Kubwa la Watu
Likiendelea Kulalamika Kwa Kukosa Ajira.

Changamoto ya Miundombinu Duni zikiwemo nyumba  za Watumishi Hao Zimetajwa kuwa 
miongomi mwa Sababu Zinazosababisha wafanyakazi  wengi kutopenda kufanyakazi katika
maeneo wanayopangiwa  hasa vijijini.

Suala Hilo Limeibuliwa Leo na  diwani wa kata ya makowo  oygen mdete  kwenye kikao cha
baraza la madiwa Katika Halmashauri ya Mji wa Njombe  ambapo diwani huyo amewatupia
lawama wakuu wa idara ya afya kwa kuwapanga watumishi katika zahanati ya mamongolo na
Ambao Wamekuwa Wakiondoka Mara Kwa Mara na kuiacha zahanati ikibakia bila huduma.
 
Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wanjombe  Edwini Mwanzinga na Diwani wa kata ya
Yakobi Esta Mgeni Licha ya kukubaliana na diwani wa kata ya makowo Lakini Wameshauri
wananchi Kushirikiana na Viongozi Katika kukarabati miundombinu Hiyo Wafanyakazi
wanaotoka mbali waweze Kustahimili Mazingira Hayo.

Kwa upande wao afisa utumishi wa halmashauri ya mji Wa njombe Malbert mbunjiro na
mganga mkuu david ntahindwa Wamekiri kuwa tatizo la

DKT. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI RUVUMA LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akihotubia leo mjini Songea wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Ruvuma.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Songea Profesa Norman Sigalla King(kulia) Mwenge wa Uhuru uhuru kwa ajili ya kuanza mbio wilayani humo baada ya uzinduzi ulifanywa leo mjini Songea na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akihotubia leo mjini Songea.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kwa mwaka 2015 Juma Khatibu Chum(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kulia) Mwenge wa uhuru leo mjini Songea baada ya uzinduzi wa mbio hizo Kitaifa mkoani Ruvuma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto)akimkabidhi Kiongozi wa Wakimbiza Mwenge Kitaifa Juma Khatibu Chum (kulia) Mwenge wa uhuru leo mjini Songea baada ya uzinduzi wa mbio hizo Kitaifa mkoani Ruvuma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge wa uhuru leo mjini Songea katika Uwanja wa Majimaji ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2015. Picha na Frank Shija na Tiganya Vincent, Songea.

Tuesday, April 28, 2015

AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA TANZANIA DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MELI ZA KIVITA ZA JESHI LA WANAMAJI

2
1
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya MrishoKikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015

3

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015

4
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na makamanda wa meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
5Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Chifu Edward Wanzagi wa kabila la Wazanaki (kati) pamoja na Mbunge wa Afrika Mashariki Mhe Makongoro Nyerere baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
PICHA NA IKULU

SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATAKIWA KUCHANGIWA NJOMBE





Baadhi ya wadau walioshiriki kikao cha kwanza cha siku ya mtoto wa afrika katika Halmashauri ya Mji wa Njombe 

Na Gabriel Kilamlya Njombe

Wadau Mbalimbali Wameombwa Kuanza Kujitokeza Kuchangia Katika Maandalizi ya Kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Hapo Juni 16 Mwaka Huu.

Wito Huo Umetolewa na Mratibu wa Maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Ambaye ni Afisa Ustawi wa Jamii Katika Halmashauri ya Mji wa Njombe Bwana Hosea Yusto Wakati Akizungumza na Wadau Mbalimbali Mkoani Njombe Katika Kikao Cha Kwanza Cha Maandalizi ya Siku Hizo.

Bwana Yusto Amesema Kuwa  Halmashauri ya Mji wa

Monday, April 27, 2015

MASKANI MAPYA YA 89.1 UPLANDS FM RADIO toka Mjini Njombe Toka 88.9 ya Awali

Katikati ni Mmiliki wa Mtandao Huu wa www.gabrielkilamlya.blogspot.com Bwana Gabriel Kilamlya Akiwa na Watangazaji wa Kituo Hicho.

MKUU WA MKOA WA NJOMBE AZINDUA RASMI TUZO YA TAALUMA YA MKUU WA MKOA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi Akizindua Rasmi Tuzo ya Taaluma ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Wakati wa Kilele Cha Wiki ya Elimu Mkoani Njombe.



 Na Gabriel Kilamlya Njombe

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi Amepiga Marufuku Vyama Vya Siasa 

Mkoani Njombe Kujihusisha Katika Kusaidia Kuchangia Tuzo ya Taalumu ya Mkuu wa 

Mkoa wa Njombe na Badala Yake Wahusike Wadau Tofauti na Vyama Hivyo.

Kauli Hiyo Ameitoa Leo Wakati Akizindua Rasmi Tuzo ya

UTOAJI WA NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50YA MUUNGANO

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Bw.Damian Zefrini Lubuva baada ya kumvalisha  Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Pili katika hafla iliyofanyika jana viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam katika kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimvalisha nishani Bw.Aboud Talib Aboud wakati wa hafla ya kutunuku Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Tatu katika  viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akivalisha Nishani Bw,Mohammed Seif Khatibu wakati wa hafla ya kutunuku  Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Tatu  katika  viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni katika kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Makamo wa Rais wa jamhuri ya Muungano Dk.Mohammed gharib Bilali pamoja na Viongozi wengine wakiwa  katika picha ya pamoja baada ya kumalizika hafla ya sherehe ya utoaji wa Nishani ya Kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Pili,Tatu na Nne jana katika viwanja vya Ikulu Jijini Dares Salaam

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimvalisha  Cpl Laura Philip Mushi  Nishani ya Ushupavu wakati wa utoaji wa Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Madaraja mbali mbali katika hafla iliyofanyika jana viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania wakisimama wakati wimbo wa taifa ukipigwa baada ya kumalizika hafla ya sherehe ya utoaji wa Nishani ya Kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la

UPLANDS FM RADIO TOKA NJOMBE YAZINDUA MASAFA MAPYA YA 89.1 toka 88.9









 Team Uplands Fm Ikiwa Road Show April 26 Mwaka Huu Katika Uzinduzi wa Masafa Mapya ya 89.1
 Washiriki Watano Waliobaki Toka 33 Katika Mashindano ya Kusaka Kijana Mwenye Kipaji Cha Utangazaji na Uandishi wa Habari Ambapo Washindi  Watatu Wamepata Fursa ya Kupelekwa Chuo na Uplands Fm Radio,Kass Kass cOMPANY Ltd na Eckross Tourism and School Of Journalism College Chuo Kilichopo Mjini Njombe Katika Viwanja vya Sabasaba
 Team Matajiri Wahuni Toka 89.1 uplands fm radio Njombe Wakiongozwa na Rais Wao wa Kwanza Kulia Dokta Joe.

Namna  uzinduzi wa masafa mapya ya 89.1 Uplands fm radio toka 88.9 ya awali baada ya kubadilishiwa na TCRA Hapo April 18 Mwaka Huu na Uzinduzi Huo Umefanyika Aprili 26 Mwaka Huu Kwa Kupita Katika Mitaa ya Hagafilo,Kambalage,Mjimwema,Melinze,Matalawe Chaugingi,Kibena,Mgendela,Ramadhani na Mpechi na Baadaye Usiku Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba Akazindua Rasmi Masafa Hayo Katika Ukumbi wa Turbo Mjini Njombe.

GABRIEL KILAMLYA

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU KUPITIA SIMU No.0766867878,0654199935,0684199935

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO KWA BEI NAFUU NA MTANDAO HUU

SIKILIZA UPLANDS FM ON LINE

<iframe><br /><a href="http://www.ustream.tv/" style="padding: 2px 0px 4px; width: 50px; background: #ffffff; display: block; color: #000000; font-weight: normal; font-size: 5px; text-decoration: underline; text-align: center;" target="_blank">Live broadcast by Ustream</a>

Blog Archive

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni