Alhamisi, 8 Januari 2015

POLISI YAONGOZA KWA UFISADI TANZANIA.


Jeshi la polisi nchini tanzania ndio taasisi fisadi zaidi chini humo

Idara ya polisi ndio taasisi inayochukua hongo zaidi nchini Tanzania kulingana na ripoti ya ufisadi katika jumuiya ya Afrika mashariki.
Ripoti hiyo inasema kuwa maafisa wa polisi walipokea asilimia 25 ya hongo zote zilizotolewa kwa wafanyikazi wa taasisi za uma mwaka uliopita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni