Jumamosi, 11 Oktoba 2014

VITUKO MITAANI NANI ALAUMIWE KATI YA JIJI NA TANESCO MBEYA KWA KITUKO HIKI

Hii hatari kwa waendesha magari nyakati za usiku hii nguzo ipo barabara mpya jirani ya bustani ya jiji eneo la uwanja wa sokoine jijini Mbeya 
Je? ushirikiano wa Halmashauri ya jiji la Mbeya na Tanesco hakuna mmeshindwa kukaa chini mkajadili swala hili maana yote mnayofanya ni kwafaida ya wananchi 
Picha yenyewe inajieleza je mnasubiri ajali itokee ndiyo mchukue hatua?
Hii hatari sana ujumbe tunaimani umefika 


Picha na Mbeya yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni