Jumanne, 7 Oktoba 2014

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASIMIKWA UCHIFU WA HESHIMA KALENGA IRINGA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisimikwa uchifu wa heshima wa Kalenga
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na machifu wa Kalenga pamoja na Viongozi wa CCM
  Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa akimuongoza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenda kuketi baada ya kumaliza zoezi la kumsimika uchifu
Katibu Mkuu wa CCM akiwa kwenye picha ya pamoja na machifu wa Kalenga
Wananchi wa Kalenga wakifuatilia mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kalenga
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu jesca Msambatavangu akihutubia wakazi wa Kalenga kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kuhutubia wananchi
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Kalenga kwenye kichuguu ambacho Chifu Mkwawa alikuwa anahutubia watu wake.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kalenga ambapo aliwaambia kuwa Kilimo kwanza kimeleta sana faida kwa wakulima wamelima na kufanikiwa lakini tatizo linalowakabili sasa ni soko la mazao yao .
 Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi kutoka kwa wanachama wa Chadema walioamua kurudi CCM.
 Katibu Muuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha kadi za wanachama waliotoka upinzani na kurudi CCM
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha bendera na kofia za Chadema zilizorudishwa na wanachama waliojiunga CCM
 Katibu Mkuu wa CCM akikabidhi kadi kwa wanachama wapya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni