Ijumaa, 8 Agosti 2014

NIGHT OF HOPE 2014: UPENDO NKONE AKITOA MATUMAINI NDANI YA UWANJA WA TAIFA DAR

Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.
Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.
@haki ngowi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni