Jumatano, 2 Septemba 2015

KITENGE ATEULIWA KUWA BALOZI WA STARTIMES

KITENGE ATEULIWA KUWA BALOZI WA STARTIMES

Mtangazaji wa michezo wa Kituo cha Radio cha E-FM 93.7 , Maulid Kitenge ameteuliwa na kampuni ya StarTimes kuwa balozi wa kampuni hiyo katika hafla fupi ya kumtambulisha Kitenge kuwa Balozi mpya wa StarTimes iliyofanyika makao makuu ya Kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni