Jumapili, 14 Juni 2015

ONA ORODHA YA WASHINDI WA TUZO

3X6A0300

Wema Sepetu
Najua stori hii imechukua uzito wake mitaani kwenye ishu ya burudani ya muziki TZ na East Africa… Washindi tayari wamefahamika jana usiku June 13 2015 pale Mlimani City.
Hii ndio List kamili ya Washindi wote mtu wangu.
Mdau wa Muziki aliyefanikisha Maendeleo ya Muziki (Hall of Fame)- Marehemu Kapt. John Komba
Kikundi Bora cha Mwaka (Bongo Fleva)- Yamoto Band
Kikundi Bora cha Mwaka Taarab- Jahazi Modern Taarab
Bendi Bora ya Mwaka- FM Academia
Wimbo Bora wa kushikishwa/ Kushirikiana- Kiboko Yangu (Mwana FA Feat. Ali Kiba)
Msanii Bora Chipukizi Anayeibukia- Barakah Da’ Prince
Wimbo Bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania- ‘Waite’ (Mrisho Mpoto)
Wimbo Bora wa Zouk/ Rhumba- ‘Nitampata Wapi’ (Diamond Platnumz)
Wimbo Bora wa Afro Pop- ‘Mwana’ (Ali Kiba)
Video Bora ya Muziki ya Mwaka- ‘Mdogo Mdogo’ (Diamond Platnumz)
Producer Bora wa Nyimbo wa Mwaka (Bendi)- Amoroso
Producer Bora wa Nyimbo wa Mwaka (Taarab) – Enrico
Producer Bora wa Nyimbo wa Mwaka (Bongo Fleva) – Nahreel
Mtunzi Bora wa mwaka Hip Hop- Joh Makini
Mtunzi Bora wa Mwaka (Bendi) – Jose Mara
Mtunzi Bora wa Mwaka (Bongo Fleva) – Ali Kiba
Mtunzi Bora wa Mwaka (Taarab)  –  Mzee Yusuph
Wimbo Bora wa Afrika Mashariki – Sura Yako (Sauti Sol)
Msanii Bora wa Hip Hop- Joh Makini
Rapa Bora wa mwaka (Bendi) – Ferguson
Wimbo Bora wa Reggae/ Dancehall – Let Them Know (Maua Sama)
Wimbo Bora wa Hip Hop- Kipi Sijasikia (Prof. Jay Feat. Diamond)
Wimbo Bora wa R&B- Sisikii (Jux)
Wimbo Bora wa Kiswahili (Bendi)- Walewale (FM Academia)
Wimbo Bora wa Mwaka –  Mwana (Ali Kiba)
Wimbo Bora wa mwaka (Taarab) –  Mapenzi Hayana Dhamana (Isha Mashauzi)
Mwimbaji Bora wa Kike (Bongo Fleva)- Vanessa Mdee
Mwimbaji Bora wa Kike (Taarab)- Isha Mashauzi
Mwimbaji Bora wa Kiume (Taarab)- Mzee Yusuph
Mtumbuizaji Bora wa muziki wa mwaka wa Kike- Vanessa Mdee
Mtumbuizaji Bora wa muziki wa mwaka wa Kiume- Ali Kiba
Red Carpet ilianza na mastaa.. Hapa nina pichaz zao tano.
DSC_2266
Wema Sepetu
DSC_2278
Martin Kadinda
DSC_2289
DSC_2304
DSC_2336
Nikki wa Pili
Pichaz nyingine wakati zinapokelewa Tuzo.
3X6A0212
Joh Makini
3X6A0218
Ben Pol
3X6A0238
Jose Mara na Khalid Chokoraa.
3X6A0260
Mzee Yusuph
3X6A0276
3X6A0312
DJ Fetty mtangazaji wa Clouds FM, alikuwa MC wa KTMA2015pamoja na Zembwela.
3X6A0322
3X6A0342
Maua Sama.. Kwenye Category alikuwa msanii Pekeake wa kike na ameshinda Tuzo.
3X6A0370
Prof. Jay kwenye stage baada ya kupokea Tuzo yake.
3X6A0396
Jux
3X6A0408
3X6A0431
Isha Mashauzi
3X6A0451
Joh Makini
3X6A0462
G Warawara
3X6A0484
Joh Makini
3X6A0487
Nikki wa Pili
3X6A0532
Mzee Yusuph akipokea Tuzo yake nyingine.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni