Jumapili, 14 Juni 2015

Monday, June 15, 2015

Faiza Ally Awaacha Watu 

hoi Tuzo za Kill 2015

Mpekuzi blog

Mwanadada faiza ally  amezua gumzo kwenye fainali  tuzo za Kilimanjaro music Award zilizofanyika usiku wa  kuamkia jana  katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.
 
Mwanadada huyo alitinga kwenye Red kapeti tuzo za kili akiwa na vazi linao onesha baadhi ya sehemu za makalio zikiwa wazi kama ambavyo anao onekana katika picha hapo chini suala lililozua minong’ono kwa baadhi ya watu ukumbini hapo.
  

Mpekuzi blog

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni