Alhamisi, 11 Desemba 2014

MKUTANO MKUU WA CAMFED TANZANIA WAFANYIKA MJINI DODOMA

Mgeni rasmi Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda akizungumza katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
Mgeni rasmi Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda akikaribishwa katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
Mkurugenzi kutoka Wizara ya Elimu, akiongea katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
Mgeni rasmi akiwa na Wafanyakazi pamoja na Wanafunzi wanaofadhiliwa na Camfed Tanzania.
Wanafunzi wa Sekondari wanaosomoshwa na shirika la Camfed Tanzania.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosomeshwa na shirika la Camfed Tanzania.

    

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni